This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Sunday, December 23, 2012

KAMPUNI ZA NDEGE ZINAZOTOA HUDUMA KUPITIA M-PESA ZAONGEZEKA

DAR ES SALAAM, Tanzania Idadi ya Kampuni na Mashirika ya ndege nchini ambayo yameingia kwenye mkataba na Vodacom katika kuwawezesha wateja wake kulipia tiketi za usafiri huo kupitia M-Pesa imeongezeka. Hadi kufikia sasa Kampuni zilizoingizwa moja kwa moja kwenye mfumo wa huduma hiyo ni pamoja na Shirika la Ndege la Precision, Coastal Travels, Auric Air na Skylink Tanzania. Huku Kampuni nyingine zikipatikana kwenye orodha kwa kuingiza namba ya...

Friday, December 21, 2012

NOKIA PROMOSHENI

Mkazi wa Buza nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, Eusedia Donald, (katikati) akipokea zawadi ya simu aina ya Nokia 302 kwenye duka la Vodacom lililopo eneo la Mlimani City Dar es Salaam jana, kutoka kwa Meneja Mauzo wa duka hilo Salim Salmin (Kulia) kufuatia promotion ya shinda na Nokia inayoendelea. (Kushoto) ni mwakilishi wa Nokia Magreth Tendw...

Friday, December 14, 2012

RAIS KIKWETE KATIKA HAFLA YA MWAKA YA CONFEDERATION OF TANZANIA INDUSTRIES (CTI)

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akijiandaa kumkabidhi Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Distilleries Bw David Mgwassa (wapili kushoto), kombe la ushindi wa mwaka wa uzalishaji bora nchini katika hafla ya Shirikisho la Wenye Viwanda nchini  (CTI) usiku wa kuamkia leo Ijumaa Desemba 14, 2012 katika hoteli ya Serena Inn. Kulia ni Mwenykiti wa makampuni ya IPP Dkt. Rginald Mengi na Kushoto ni Bw. Arnold Kileo.   Rais Jakaya Mrisho...

TBL YAKIPIGA JEKI KIKUNDI CHA MAMA WA KIMASAI

 Mkurugenzi wa Uhisiano na Sheria wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Steve Kilindo akimkabidhi mfanyakazi wa duka la Maasai Women Fair Trade Group cha Simanjiro, mkoani Arusha, Debora Mwingira mfano wa hundi yenye thamani ya sh. milioni 3.5 za kusaidia kulipia pango katika duka linalouza bidhaa zao Mtaa wa Kaunda Drive, Oyterbay, Dar es Salaam hivi karibuni. Duka Maasai Trade Fair (kushoto) lililopo Barabara ya Kaunda Drive, Oysterbay,Dar...

Monday, December 10, 2012

WIZARA YATENGA SH. BILIONI 8.9 KINUA WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI NCHINI

 DODOMA, TANZANIA Wizara ya Nishati na Madini imetenga jumla ya sh. bilioni 8.9 kwa dhamira ya kuwainua wachimbaji wadogo wa madini nchini ili kukuza kipato chao na hivyo kuboresha maisha yao. Aidha, jitihada za kuwainua wachimbaji wadogo zinalenga pia kuinua pato la taifa kutokana na kuongezeka kiwango cha kodi na tozo mbalimbali zinazopaswa kulipwa na wachimbaji hao kwa serikali. Hayo yamesemwa na Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo alipokuwa akizungumza na wajumbe waliohudhuria mkutano mkuu wa mwaka wa wachimbaji wadogo...

Sunday, December 9, 2012

TRENI YA ABIRIA YAREJESHA SAFARI ZAKE MWANZA TANGU MWAKA 2009

Treni ikiwasili Jijini Mwanza leo MWANZA, TANZANIA MAMIA ya wakazi wa jiji la Mwanza, leo walilipuka kwa shangwe na vigelegele wakati wakiilaki Treni ya Abiria iliyowasili hapa kwa mara ya kwanza baada ya kusitishwa kwa safari zake toka Disemba 2009. Treni hiyo iliwasili katika Stesheni ya mjini Mwanza saa 5:55 mchana, Naibu Waziri wa Uchukuzi, Dk Charles Tizeba akiwa ni mmoja wa abiria waliopokewa na wananchi hao walioongozwa na Mkuu wa...

Saturday, December 8, 2012

MKURUGENZI MKUU WA EABC AKUTANA NA WANAHABARI WA EAC KATIKA MAFUNZO

Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Biashara la Jumuia ya Afrika Mashariki, Andrew Luzze Kaggwa, akizungumza wakati wa mafunzo ya siku tatu ya waandishi wa habari juu ya Wajibu wa Vyombo vya Habari katika kuangalia Utekelezaji wa Masuala ya Soko la Pamoja. Mafunzo hayo yanahusisha wanaandishi wa habari kutoka nchi zote wanachama wa EAC, na kufanyika Ubungo jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Baraza la Biashara la Jumuia ya Afrika Mashariki,...

TANGAZO LA M-PESA YATENGAMAA TENA

Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE ...

Friday, December 7, 2012

KITWANGA AHITIMISHA ZIARA KATIKA VIWANDA NA MAHOTELI JIJINI NA KUKEMEA WANAOCHAFUA FUKWE ZA BAHARI

Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Mh.Charles Kitwanga (wa tatu kulia) akiwasili katika Kiwanda cha kutengeneza dawa za binadamu cha Shelys kilichopo Mwenge jijini Dar huku akiwa ameambatana na Mkurugenzi wa Tathmini ya Athari kwa Mazingira (Enviromental Impact Assessment-EIA) wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) Bw.Ignace Mchallo ( wa pili kulia), Mkurugenzi wa Kurugenzi ya kufanikisha udhibiti...

Tuesday, December 4, 2012

AIRTEL YAZINDUA PROMOSHENI YA MWISHO WA MWAKA 2012 KWA WATEJA WAKE

* Ni promosheni  ya "AMKA MILIONEA".* Ndani ya siku 90 wateja 875 wa Airtel kuzoa sh. milion 401 Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imezindua promosheni mpya ili kuweza kuwazawadia wateja wake wakati wa msimu huu wa mwisho wa mwaka. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa promosheni hiyo kwa waandishi wa habari  Meneja wa huduma za ziada wa Airtel Francis Ndikumwami alisema kwamba "Airtel  inakutoa fursa nyingine kwa Tanzania kushiriki...

Monday, November 19, 2012

VIJANA NCHINI WATAKIWA KUJIFUNZA ELIMU YA UJASIRIAMALI ILI KUONGEZA THAMANI KATIKA KAZI NA BIASHARA

Mwezeshaji katika mafunzo ya Ujasiriamali katika Wiki ya Ujasiriamali Duniani Austin Makani (kushoto) akitambulisha meza kuu wakati wa Hafla ya kukabidhi vyeti kwa wahitimu na kufunga Mafunzo hayo. Mgeni rasmi Mkuu wa Shule Kuu ya Biashara ya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam Dkt. Ulingeta Mbamba (katikati), Mratibu Mipango wa Kitengo cha Ujasiriamali cha Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDEC) Bw. Elia Yobu (kulia), Makamu Mwenyekiti wa ZAYEE Bw. Omar...