This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Wednesday, August 1, 2012

ASILIMIA 21 YA UCHUMI AFRIKA MASHARIKI UNAYUMBISHWA KILA MWAKA NA MATUKIO YA KUGHUSHI

NA ROSE JACKSON, ARUSHA TANZANIA IMEBAINIKA kuwa asilimia 21 ya uchumi wa nchi za Afrika Mashariki kwa kila mwaka  unayumbishwa na ughushi wa aina mbali mbali ukiwemo wa luku za umeme ,fedha pamoja na kodi hali ambayo inachangia kiwango kikubwa cha umasikini Hayo yameelezwa na Sosthenes Bichanga ambaye ni Mwakilishi  wa Shirika la Kimataifa la kupambana na ughushi na biashara ya fedha haramu la Ossulivan Association Kenya, wakati akiongea na waandishi wa habari mapema jana jijini hapa. Alisema kuwa kiwango hicho cha fedha ambazo zinapotea...