This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Monday, December 23, 2013

GHARAMA ZA UMEME ZAPANDA TENA

Mkurugenzi wa Usimamizi wa Uchumi wa amlaka ya Udhibiti wa Nishati na Maji (Ewura), Felix Ngamlagosi akitangaza bei mpya ya umeme jana katika mkutano na waandishi wa Habari Dar es Salaam. Kulia kwake  ni Mkurugenzi wa Umeme wa mamlaka hiyo, Anastas Mbawala. (PICHA  NA RICHARD MWAIKENDA TAARIFA KAMILI Tarehe 11 Oktoba 2013, Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) liliwasilisha maombi ya kurekebisha bei ya umeme kwa Mamlaka ya Udhibiti...

Wednesday, December 18, 2013

TANZANIA DISTILLERIES LIMITED(TDL) YAZINDUA PROMOSHENI YASHINDANO LA KUMSAKA MSHINDI ATAKAE PATA FURSA YA KWENDA KUTEMBELEA SHAMBA KUTENGENEZA KINYWAJI CHA AMARULA NCHINI AFRIKA KUSINI LIJULIKANALO KAMA “AMARULA PAN AFRICAPROMOTION”.

Meneja wa kinywaji cha Amarula Diana Baliagati DAR ES SALAAM, Tanzania KAMPUNI ya  Tanzania Distilleries Limited (TDL) leo imetangaza promosheni ya shindano la kumsaka mshindi wa anayetumia kinywaji cha Amarula, kinacho tengenezwa nchini Afrika Kusini na kusambazwa na TDL nchini maarufu kama nyumba ya Konyagi katika promosheni iliyozinduliwa leo Shoprite Mlimani City jijini Dar es Salam ijulikanayo kama  “Amarula Pan Africa Promotion”. Akizungumza...

Monday, December 9, 2013

TBL YAPATA TUZO MBILI ZA UAJIRI BORA TANZANIA

 Makamu wa Rais Dk. Mohammed Gharib Bilal, akikabidhi cheti kwa Meneja Rasilimali Watu Uhusiano wa Kibiashara (HR Business Partner) wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bw. Emmanuel Christopher (kulia), baada ya kampuni hiyo kupata tuzo ya utoaji mafunzo na maendeleo kwa wafanyakazi yakiwemo ya elimu ya jinsi ya kujikinga na maambukizi ya Ukimwi. Kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), Bw. Almas Maige, Waziri wa Kazi...

Monday, October 21, 2013

TAKWIMU KUHUSU PATO LA TAIFA

v\:* {behavior:url(#default#VML);} o\:* {behavior:url(#default#VML);} w\:* {behavior:url(#default#VML);} .shape {behavior:url(#default#VML);} 800x600 Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 ...

Monday, October 14, 2013

MAGAUNI NA VIPODOZI KUTOKA MAREKANI VYAWASILI DAR

  Bringing you fashionable designer office wear (calvin klein, Tahari etc) at an affordable price. Everything is 120,000 and 60,000tshs ONLY. Original MAC Lipstick for TSH 50, 000 ONLY Victoria Secret LipGlossy for TSH 25,000 ON...

Wednesday, October 9, 2013

TPB YATANGAZA WASHINDI DROO YA MWISHO YA SHEREHEKEA MSIMU WA IDDI NA TPB WESTERN UNION

  Meneja Mkuu Uendeshaji wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Kolimba Tawa (kulia) akimsoma mmoja wa washindi wa shindano la Sherehekea Msimu wa Iddi na TPB Western Union leo jijini Dar es Salaam.   Meneja Mkuu Uendeshaji wa Benki ya Posta Tanzania (TPB), Kolimba Tawa (wa pili kulia) akizungumza kwa njia ya simu na mmoja wa washindi wa shindano la Sherehekea Msimu wa Iddi na TPB Western Union leo jijini Dar es Salaam akimjulisha...

Tuesday, September 17, 2013

HOTELI YA DOUBLETREE YAGAWA TAA ZA UMEME JUA ZENYE THAMANI YA TSH 5MILLIONI VISIWANI

Mkurugenzi wa Mauzo wa Hoteli ya DoubleTree by Hilton Florenso Kirambata akiwaelekeza wanafunzi wa shule ya Msingi Maskul Fundo, Jimbo la Gando kisiwani Pemba jinsi ya kutumia taa za nishati Jua walipotembelea shule hiyo katika moja ya kampeni zake za kugawa taa za nishati mbadala kwa shule za msingi nchini. Mkurugenzi wa Kanda wa Hoteli ya DoubleTree by Hilton ya Dar es Salaam Bw. Judd Lehmann akiangalia jinsi mwanafunzi anavyoweza kuwasha...

Monday, August 19, 2013

TBL YAZINDUA KAMPENI YA NYUMBANI NI NYUMBANI YA GRAND MATL NA VITA MALT

Meneja mahusiano wa TBL Doris Malulu akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam juu ya uzinduzi wa kampeni kubwa ya vinywaji hivyo kuwatembelea watumiaji majumbani mwao na kutoa elimu juu ya umuhimu wa kutumia vinywaji vilivyo bora , Kampeni hiyo itajulikana kwa jina la Nyumbani ni Nyumbani na itajumuisha mikoa kumi ya Tanzania Bara,Kulia ni meneja wa vinywaji hivyo Consolata Adam. Na Mwandishi Wetu KATIKA kile kinachoonekana...

Sunday, August 18, 2013

WABUNGE: SERIKALI ITUMIE RISITI ZA ELEKTONIKI

BY ZITTO KABWE Major  Highlights 1.) Kutokana na kutokuwepo na taarifa sahihi kuhusu deni la Taifa kuna umuhimu wa kukutanisha wadau wakuu wanaohusika hususani BOT, HAZINA, Kamati za Bunge na CAG ili kuweza kujua kwa usahihi zaidi ukubwa wa deni hilo.  Vile vile imeamuliwa kuwa Serikali ishauriwe kuunda chombo huru kitakachosimamia deni la taifa. 2.) Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma haiweki uwazi wa kutangaza umiliki wa mali...

Friday, August 2, 2013

ADV/TANGAZO

MAYFAIR HOTEL Suites | Conferences | Events Free high-speed wireless Internet Access A Kitchenette with Microwave, Refrigerator, etc. A nice small coffee table with four charis, gives you feel like at home A spacious nice Bathroom with bath tub and hair-dryer, etc. Contact Details:Mobile: +255 685-688000Email: info@mayfairplaza.comWebsite: www.mayfairhoteltz.comAddress: Mayfair Hotel, Old Bagamoyo Road, Dar es Salaam, Tanzania. 123Tanzania...

Thursday, August 1, 2013

WAANDISHI WA HABARI WATEMBELEA TBL MBEYA

Waandishi wa habari wa mkoa wa Mbeya wakitembelea kapuni ya Bia TBL Moja ya watumishi wa kampuni hiyo ya Bia akiwaeleza waandishi wa habari jinsi bia inavyotengenezwa Ziara inaendelea Meneja kiwandacha kampuni ya Bia TBL  Mbeya Nicolaus  Kanyamala akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza ziara ya kutembelea kiwanda hicho Baadhi ya wa watumishi wa kampuni ya Bia wakijitambulisha...