This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Wednesday, April 10, 2013

HOTUBA YA WAZIRI MKUU, MHESHIMIWA MIZENGO PETER PINDA (MB), KUHUSU MAPITIO NA MWELEKEO WA KAZI ZA SERIKALI NA MAKADIRIO YA MATUMIZI YA FEDHA YA OFISI YA WAZIRI MKUU NA OFISI YA BUNGE KWA MWAKA 2013/2014

WAZIRI M,KUU UTANGULIZI Masuala ya Jumla Mheshimiwa Spika, naomba kutoa Hoja kwamba kutokana na Taarifa zilizowasilishwa leo na Wenyeviti wa Kamati za Katiba, Sheria na Utawala; Kamati ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa; na Kamati ya Uchumi, Viwanda na Biashara na Kamati ya Masuala ya UKIMWI na Dawa za Kulevya ndani ya Bunge lako Tukufu ambazo zimechambua Bajeti ya Mafungu ya Ofisi ya Waziri Mkuu, Bunge lako sasa lipokee na kujadili Taarifa...

Tuesday, April 9, 2013

BENKI YA POSTA YAPATA FAIDA SH. BILIONI 5.6

Na Mwandishi WetuBENKI ya Posta Tanzania (TPB) imepata faida ya jumla ya sh. bilioni 5.6 kabla ya kodi (profity before tax) ikiwa ni faida iliyopatikana kwa mwaka ulioishia Desemba 2012. Taarifa hiyo imetolewa muda mfupi uliopita jijini Dar es Salaam na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi, alipokuwa akizungumza na waandishi habari Makao Makuu ya Benki hiyo.Akifafanua zaidi, Moshingi alisema kiasi hicho cha fedha ni mafanikio makubwa kwa taasisi hiyo ya fedha kwani ni ongezeko la sh. bilioni 1.8 zaidi ukilinganisha...