This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Monday, August 19, 2013

TBL YAZINDUA KAMPENI YA NYUMBANI NI NYUMBANI YA GRAND MATL NA VITA MALT

Meneja mahusiano wa TBL Doris Malulu akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam juu ya uzinduzi wa kampeni kubwa ya vinywaji hivyo kuwatembelea watumiaji majumbani mwao na kutoa elimu juu ya umuhimu wa kutumia vinywaji vilivyo bora , Kampeni hiyo itajulikana kwa jina la Nyumbani ni Nyumbani na itajumuisha mikoa kumi ya Tanzania Bara,Kulia ni meneja wa vinywaji hivyo Consolata Adam. Na Mwandishi Wetu KATIKA kile kinachoonekana...

Sunday, August 18, 2013

WABUNGE: SERIKALI ITUMIE RISITI ZA ELEKTONIKI

BY ZITTO KABWE Major  Highlights 1.) Kutokana na kutokuwepo na taarifa sahihi kuhusu deni la Taifa kuna umuhimu wa kukutanisha wadau wakuu wanaohusika hususani BOT, HAZINA, Kamati za Bunge na CAG ili kuweza kujua kwa usahihi zaidi ukubwa wa deni hilo.  Vile vile imeamuliwa kuwa Serikali ishauriwe kuunda chombo huru kitakachosimamia deni la taifa. 2.) Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma haiweki uwazi wa kutangaza umiliki wa mali...

Friday, August 2, 2013

ADV/TANGAZO

MAYFAIR HOTEL Suites | Conferences | Events Free high-speed wireless Internet Access A Kitchenette with Microwave, Refrigerator, etc. A nice small coffee table with four charis, gives you feel like at home A spacious nice Bathroom with bath tub and hair-dryer, etc. Contact Details:Mobile: +255 685-688000Email: info@mayfairplaza.comWebsite: www.mayfairhoteltz.comAddress: Mayfair Hotel, Old Bagamoyo Road, Dar es Salaam, Tanzania. 123Tanzania...

Thursday, August 1, 2013

WAANDISHI WA HABARI WATEMBELEA TBL MBEYA

Waandishi wa habari wa mkoa wa Mbeya wakitembelea kapuni ya Bia TBL Moja ya watumishi wa kampuni hiyo ya Bia akiwaeleza waandishi wa habari jinsi bia inavyotengenezwa Ziara inaendelea Meneja kiwandacha kampuni ya Bia TBL  Mbeya Nicolaus  Kanyamala akiongea na waandishi wa habari mara baada ya kumaliza ziara ya kutembelea kiwanda hicho Baadhi ya wa watumishi wa kampuni ya Bia wakijitambulisha...