This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Monday, February 10, 2014

BANDARI YA DAR ES SALAAM KUFANYAKAZI SAA 24

SERIKALI imesema tatizo la msongamano wa mizigo katika Bandari ya Dar es Salaam, utakuwa historia baada ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA), kuanza kufanyakazi saa 24. Imesema utaratibu huo utaanza kutumika muda wowote kuanzia sasa na utaongeza tija na ufanisi kwa watumiaji wa bandari. Katibu Mkuu Wizara ya Uchukuzi Dk. Shaaban Mwinjaka Hatua ya kuanzisha utaratibu wa kufanyakazi kwa saa 24, imefikiwa na wadau wanaotumia bandari hiyo kwa...

Friday, February 7, 2014

AIRTEL KUBORESHA MITAMBO YA HUDUMA ZA AIRTEL MONEY WIKENDI HII

· Mabadiliko yataleta ufanisi kwa huduma ya Airtel money ·Mabadiliko yatawezesha  wateja kufanya mambo mengi na kuongeza watumiaji wa huduma ya Airtel money ·  Mabadiliko yataongeza matumizi ya huduma ya Airtel money Tanzania Dar es Salam, Tanzania  Airtel Tanzania, kampuni inayoongoza kwa kutoa huduma za kibunifu na zenye ubora nchini iko katika mchakato wa kuboresha mitambo ya huduma ya Airtel money na kuifanya...

Thursday, February 6, 2014

WASHINDI PROMOSHENI YA MIMI NI BINGWA WAPONGEZA AITEL,

Wakati Kampuni ya mitandao ya simu za mkononi ya Airtel ikisubiria kuchezesha droo kubwa ya shilingi Milioni 50 kupitia promosheni ya Mimi ni Bingwa, baadhi ya washindi waliokwishapatikana wamejitokeza wakiisifia kampuni hiyo kwa kuratibu promosheni zenye kulenga maendeleo kwa watanzania walio wengi nchini. Washindi hao wameainisha hayo muda mfupi baada ya kukabidhiwa pesa zao mapema wiki hii kwenye ofisi za makao makuu ya...

Friday, January 24, 2014

TAARIFA FUPI KWA MHE: WAZIRI WA UWEZESHAJI NA UWEKEZAJI MAMA MARY NAGU KUHUSU POVERTY FIGHTING TANZANIA (PFT) TAREHE 24/01/2014 PTA SABA SABA

Mhe: Mgeni Rasmi Waziri wa Uwezeshaji na uwekezaji Mama Marry Nagu.Awali ya yote tunachukua fursa hii Kukushukuru kwa kukubali kuwa mgeni rasmi katika shughuli yetu hii muhimu inayowahusu wajasilia mali wa Vicoba wanaoratibiwa na PFT katika Manispaa ya Temeke na tunakukaribisha karibu sana Temeke na ujisikie upo Nyumbani .1. UTANGULIZI.Poverty Fighting Tanzania (PFT) ni Taasisi isiyo ya kiserikali lililosajiriwa chini ya sheria ya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO) sheria namba 24  kifungu kidogo cha 12 sheria ya mwaka 2002 kwa namba ya...

Sunday, January 19, 2014

KAMPUNI YA WORLD BUZ YAELEZA NJIA MBADALA KUPUNGUZA GHARA WA WAFANYABIASHARA WADOGO KUFUATA BIDHAA CHINA

Ofisa mtendaji mkuu wa kampuni ya China Word Buz na mwakilishi wa wamiliki wa viwanda 45 nchini China vilivyoingia mkataba wa kibiashara na kampuni hiyo China Bwana Cheng Wang Wu akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Palace jijini Arusha wakati wa semina na waandishi hao kuhusu mfumo wa kampuni hiyo utakaosaidia wafanyabiashara wadogo wa Tanzania kutafuta soko la bidhaa nchini China na kuwapa taarifa sahihi za masoko kwa msaada...

Wednesday, January 8, 2014

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL APOKEA SARAFU YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 50 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiitazama  Sarafu ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar ambayo ina uzito ya g 16, baada ya kuipokea kutoka kwa Meneja wa Sarafu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Jovent Rushaka (kushoto), Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam,  Jan 7, 2014. Picha na ...

Thursday, January 2, 2014

SERENGETI BREWERIES YAZAWADIA WATEJA

Meneja wa Vinywaji Vikali toka Kampuni ya Bia ya Serengeti Breweries (SBL), Azda Aman akizungumza na mmoja wa washindi kwa njia ya simu ya kiganjani, kulia ni Mkaguzi Mwandamizi Kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Nchini, Mrisho Milao akishuhudi katika droo hiyo. Kulia ni Meneja Mawasiliano wa SBL, Mkaguzi Mwandamizi Kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Nchini, Mrisho Milao (kushoto) akionesha kuponi ya mmoja wa wateja aliyeibuka mshindi katika...