This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Friday, January 24, 2014

TAARIFA FUPI KWA MHE: WAZIRI WA UWEZESHAJI NA UWEKEZAJI MAMA MARY NAGU KUHUSU POVERTY FIGHTING TANZANIA (PFT) TAREHE 24/01/2014 PTA SABA SABA

Mhe: Mgeni Rasmi Waziri wa Uwezeshaji na uwekezaji Mama Marry Nagu.Awali ya yote tunachukua fursa hii Kukushukuru kwa kukubali kuwa mgeni rasmi katika shughuli yetu hii muhimu inayowahusu wajasilia mali wa Vicoba wanaoratibiwa na PFT katika Manispaa ya Temeke na tunakukaribisha karibu sana Temeke na ujisikie upo Nyumbani .1. UTANGULIZI.Poverty Fighting Tanzania (PFT) ni Taasisi isiyo ya kiserikali lililosajiriwa chini ya sheria ya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO) sheria namba 24  kifungu kidogo cha 12 sheria ya mwaka 2002 kwa namba ya...

Sunday, January 19, 2014

KAMPUNI YA WORLD BUZ YAELEZA NJIA MBADALA KUPUNGUZA GHARA WA WAFANYABIASHARA WADOGO KUFUATA BIDHAA CHINA

Ofisa mtendaji mkuu wa kampuni ya China Word Buz na mwakilishi wa wamiliki wa viwanda 45 nchini China vilivyoingia mkataba wa kibiashara na kampuni hiyo China Bwana Cheng Wang Wu akizungumza na waandishi wa habari kwenye hoteli ya Palace jijini Arusha wakati wa semina na waandishi hao kuhusu mfumo wa kampuni hiyo utakaosaidia wafanyabiashara wadogo wa Tanzania kutafuta soko la bidhaa nchini China na kuwapa taarifa sahihi za masoko kwa msaada...

Wednesday, January 8, 2014

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL APOKEA SARAFU YA KUMBUKUMBU YA MIAKA 50 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiitazama  Sarafu ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar ambayo ina uzito ya g 16, baada ya kuipokea kutoka kwa Meneja wa Sarafu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Jovent Rushaka (kushoto), Ofisini kwake Ikulu jijini Dar es Salaam,  Jan 7, 2014. Picha na ...

Thursday, January 2, 2014

SERENGETI BREWERIES YAZAWADIA WATEJA

Meneja wa Vinywaji Vikali toka Kampuni ya Bia ya Serengeti Breweries (SBL), Azda Aman akizungumza na mmoja wa washindi kwa njia ya simu ya kiganjani, kulia ni Mkaguzi Mwandamizi Kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Nchini, Mrisho Milao akishuhudi katika droo hiyo. Kulia ni Meneja Mawasiliano wa SBL, Mkaguzi Mwandamizi Kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Nchini, Mrisho Milao (kushoto) akionesha kuponi ya mmoja wa wateja aliyeibuka mshindi katika...