Sunday, July 1, 2012

AFRICAN TRADE INSURANCE AGENCY ' YAKUTANA NA WAFANYABIASHARA DAR, YAIPA TUZO KAMPUNI YA BAKHRESA

 Mmoja wa wakurugenzi wa African Trade Insurance (ati) Japhet Vincent akizungumza wakati wa Coctail ya kampuni hoyo na wafanyabiashara iliyofanyika kwenye hoteli ya 'Kilimanjaro' Dar es Salaam. Pamoja na kujitambulisha kwa wafanyabiashara hao ati ilitoa tuzo kwa kampuni ya Said Salim Bakhresa & Co ya jijini Dar es Salaam, kwa kuwa mmoja wa wadau wakubwa wa kampuni hiyo kubwa ya Bima ya Wafanyabiashara binafsi na nchi.
 Mkurugenzi wa  Kampuni hiyo ya Bima Kanda ya Afrika,  Basil Saprapasen akizungumza wakati wa hafla hiyo.
 Uongozi wa kampuni hiyo ukiwa na tuzo tayari kumkabidhi mwakilishi wa kampuni ya Bakhresa
Basil na Vincet wakimkabidhi tuzo Meneja Mkuu (Biashara) wa Kampuni ya Saidi Salim Bakhresa & Co Ltd, Saibal Sarbadhikari, wakati wa Coctail hiyo
 Mkurugenzi Mkuu wa Tanzania Private Sector Foundation (tpsf) ambao ni wa dau wa ati, Godfrey Simbeye akizungumza bada ya utoaji wa tuzo hiyo.
 Kikundi cha ngoma za 'mabuti' kikitumbuiza wakati wa hafla hiyo
 Badhi ya walioalikwa
  Baadhi ya waalioalikwa na viongozi wa ati
Mwanamuziki mahiri wa siku nyingi hapa nchini Zahir Ali 'Zoro' akiwa na mtoto wake, Baba Zoro wakati walipokuwa akitumbuiza na bendi yao ya B Band kwenye haflahiyo.

0 comments:

Post a Comment