Wednesday, July 4, 2012

MAONYESHO YA SABASABA LEO

 Watu wakiingia kwenye vianja vya Sabasaba, kwenye maonyesho yanayoendelea kwenye viwanja hivyo
Moja ya bidhaa zinazopendwa ni magodoro
 Baadhi ya wafanyabiashara wanalazimika kupumzika kama hivi, kwenye viwanja hivyo ya Manonyesho ya Sabasaba
  Wafanyabiashara Steven na Ken kutoka Canton, China wakiwa kwenye banda lao
 Steven na Ken wa  Canton, China wakiwa kwenye banda lao
 Watoto wakipata fursa ya kucheza kwenye viwanja vya Sabasaba
 Kwenye banda la vinywaji baridi la Cocacola nako mambo yakawa moto moto kama hivi
 Hii ni ATM ya benki ya NMB ndani ya Uwanja wa Saba saba
Shamba la mfano la Jeshi la Magereza ndani ya Viwanja vya Sabasaba

0 comments:

Post a Comment