Monday, July 8, 2013

TBL YATWAA TUZO YA UFADHILI MAONESHO YA 37 YA BIASHARA YA KIMATAIFA DAR ES SALAAM

 Waziri Mkuu, Mizengo Pinda (kulia) akimkabidhi tuzo Meneja Uhusiano Mambo ya Nje wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Emma Orio kwa kutambua mchango wa kampuni hiyo wa kufadhili sherehe za kufunga Maonesho ya 37 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam, kwenye viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere, Dar es Salaam.Katikati ni Dk. Abdallah Kigoda Waziri wa Viwanda na Biashara.
                                                                            Orio akifuara tuzo hiyo
Orio akiwa na washiriki wa maonesho hayo kabla ya kupokea tuzo

0 comments:

Post a Comment