Tuesday, July 30, 2013

AIRTEL TANZANIA YAFURURISHA BAADHI YA WATEJA WAKE

 Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (kushoto) akimkaribisha Ofisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya NMB, Waziri Barnabas katika hafla ya futari iliyoandaliwa na Airtel kwa wateja wao jijini
Dar es Salaam jana.
  Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (wa pili kushoto) akiwakaribisha baadhi  ya wateja wao katika hafla ya futari iliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaam jana. Kushoto ni
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallya.
 Baadhi ya wateja wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania wakichukua mlo wa futari iliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaamu juzi.
 Baadhi ya wateja wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania wakichukua mlo wa futari iliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaamu juzi.
 Mhariri Mtendaji Mkuu wa Mwananchi Communications, Bakari Machumu (wa pili kulia) na Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Kolaso (kulia kwake) wakichukua mlo wa futari iliyoandaliwa na Airtel kwa wateja wake jijini Dar es Salaam juzi.
 Mkurugenzi wa Kampuni ya Azam, Said Salim Bakhresa (wa pili kushoto),  akichukua mlo wa futari pamoja na baadhi ya wateja wa Airtel katika hafla iliyoandaliwa na kampuni hiyo kwa wateja wake
jijini Dar es Salaam juzi.
Baadhi ya wateja wa kampuni ya simu za mkononi ya Airtel Tanzania wakifuturu katika hafla iiliyoandaliwa na kampuni hiyo jijini Dar es Salaamu juzi.

0 comments:

Post a Comment